Wednesday 19 March 2014

Mrisho Mpoto: "Kilimo tusikiweke kwenye mengineyo"

   Kilimo kinalipa! 

"Neno “Haiwezekani” tuliondoe kwenye akili zetu. Mambo yanawezeka,

Mpoto, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, wakati wa uzinduzi wa Mwaka wa Kilimo wa Afrika na Kampeni ya Kilimo Inalipa, Jikite.

Mjomba akizungumza na wakulima wakati wa uzinduzi wa Mwaka wa Kilimo wa Afrika na Kampeni ya Kilimo Inalipa, Jikite, Kijijini Kaning'ombe Mkoani Iringa.













"Neno kilimo tusiliweke kwenye mengineyo", tukiliweka kwenye menginenyo tutakua tunazungumza tu na mambo hayatakuja kutokea. 

Mimi na mabalozi wenzangu tunatamka kwamba Mwaka huu wa Kilimo wa Afrika utakua wenye mafanikio chanya." Alisema Mpoto wakati wa uzinduzi wa kamepeni ya Kilimo Inalipa, Jikite huku hamasa kubwa ikitolewa zaidi kwa vijana      kujikita kwenye kilimo biashara .
                    Takwimu, Taarifa Tumekwishazisikia, Tujikite!!!


Mwakilishi kutoka ONE, Mercy Erhiawarien
Mkurugenzi Mtendaji wa ANSAF, Audax Rukonge
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dk.Christine Ishengoma akiwa na Mkulima

wadau mbalimbali wa kilimo nao walishiriki uzinduzi huu

No comments:

Post a Comment