"Neno “Haiwezekani” tuliondoe kwenye akili zetu. Mambo yanawezeka,
"Neno kilimo tusiliweke kwenye mengineyo", tukiliweka kwenye menginenyo tutakua tunazungumza tu na mambo hayatakuja kutokea.
Mimi na mabalozi wenzangu tunatamka kwamba Mwaka huu wa Kilimo wa Afrika utakua wenye mafanikio chanya." Alisema Mpoto wakati wa uzinduzi wa kamepeni ya Kilimo Inalipa, Jikite huku hamasa kubwa ikitolewa zaidi kwa vijana kujikita kwenye kilimo biashara .
Takwimu, Taarifa Tumekwishazisikia, Tujikite!!!Mwakilishi kutoka ONE, Mercy Erhiawarien |
Mkurugenzi Mtendaji wa ANSAF, Audax Rukonge |
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dk.Christine Ishengoma akiwa na Mkulima |
wadau mbalimbali wa kilimo nao walishiriki uzinduzi huu
No comments:
Post a Comment